TechnoServe, Inc. is an international non-profit economic development organization founded in 1968. Its mission is to help entrepreneurial men and women in poor areas of the developing worlddto build businesses that create income, opportunity and economic growth for their families, communities and countries.
TechnoServe has launched a four year East Africa Coffee Initiative funded by the Bill and Melinda Gates Foundation. This initiative will focus on helpping approximately 180,000 small-holders improve their incomes by improving the quality of the coffee they produce, increasing its production and linking it to markets.
PRIMARY PURPOSE,
esponsible for organizing and coordinating office operations and financial procedures to ensure organizational effectiveness and efficiency.
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
The Office Manager/ Accountant is to:
• Plan and oversee the office monthly budget and reviewing cash requirement
• Management of accurate accounting record
• Preparing timely monthly reports and bank reconciliation
• Maintaining a register of assets Inventory
• Analyzing and reporting monthly motor vehicles usage
• Any other duties
KNOWLEDGE, SKILLS & ATTRIBUTES
• Knowledge of office administration and proceedur.es
• Knowledge of Accounting and experience of using Accounting software
• Knowledge of basic book keeping and related accounting tasks
• Oral and written communication skills that are clear and concise in both English and Swahili language
• Analytical and problem solving skills
• Excellent computer skills
• Strong interpersonal, and cross-cultural skills
• Ability to maintain records and filing systems
• Ability to maintain confidentiality.
• Ability to work both independently and as part ofa team.
QUALIFICATIONS:
• Diploma in Business /Office management I Accounting
• Minimum of two years working experience in similar position
REPORTS TO: Senior Business Advisor I Financial Controller
APPLICATION MODE:
Qualified Candidates should email or post their resume to:
HR Assistant faraja.mayemba@tnstanzania.org P.O.BOX 78375 DAR-ES SALAAM
Please include (1) Cover letter describing your interest! (2) Curriculum Vitae, (3) Copies of academic transcripts, certificates and (4) names and telephone contacts of three work I academic related referees.
Deadline for the applications is 19th November 2010
Note that only short listed candidates will "be notified. Phone calls are prohibited and• will disqualify application.
TechnoServe, Inc is an Equal Employment Opportunity Employer and encourages applications from female candidates
Get your job from different recruitment companies in Tanzania and in reputable organizations, Government offices, NGOs and other private sectors.
THE BEST JOB BLOGGER IN TANZANIA, AFRICA
ADVERTISE YOUR JOB WITH US BY FOLLOWING OUR BLOG
Tuesday, November 16, 2010
MENEJA BIASHARA(BUSINESS MANAGER)
SIFA:
- Awe na Stashahada,shahada au sifa zinazofanana na hizo katika Nyanja ya biashara na utawala(Business and administration)
- Awe na uwezo wa kusimamia miradi ya biashara na mingineyo kwa ufanisi,hii ni pamoja na majukumu mengine ya Ofisi na kampuni.
- Awe na uelewa na mwenye uwezo wa kujifunza na kutekeleza masuala yanayohusiana na sheria/taratibu za uendeshaji wa kampuni.
- Awe na uwezo wa kutayarisha taarifa za mara kwa mara za maendeleo ya kampuni ambazo zitawasilishwa kwenye Bodi ya wakurugenzi kila baada ya miezi mitatu,hii ni pamoja na taarifa nyingine za utendaji za mara kwa mara.
- Awe na uwezo wa kuandaa ripoti za mauzo za siku,wiki na mwezi pia.
- Awe mwaminifu na kutumainiwa na mwenye msukumo binafsi(self driven)katika kutenda majukumu yake.Maana yake asiwe ni mtu wa kungojea kusukumwa na kukumbushwa majukumu yake ya kila siku.
- Awe ni mtu mwenye uwezo wa kupanga mipango yake inayoleta maslahi na maendeleo kwa kampuni na mwenye uwezo wa kuona mbali ili kupanua wigo wa kampuni.
- Atakuwa ndiye msaidizi mkuu wa mwenyekiti mwendeshaji wa kampuni katika shughuli za utendaji za siku hadi siku.
- Awe na uwezo wa kutumia internet,Ms Excel,Ms Word,
- Atakuwa ndiye msimamizi wa uendeshaji wa Mini supermarket na restaurant ambazo zipo chini ya kampuni ya Ufishi consult ltd.
- Atakuwa ndiye msimamizi wa wafanyakazi wote wa kampuni na kusimamia taratibi zote za kampuni.
- Umri kati ya miaka 26-35
Tuma CV yako na barua ya maombi kwenye anuani ya kampuni hii ufishiconsult@gmail.com ,Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 22/12/2010 na wale ambao watafanikiwa watapigiwa simu kwa ajili ya usaili
- Awe na Stashahada,shahada au sifa zinazofanana na hizo katika Nyanja ya biashara na utawala(Business and administration)
- Awe na uwezo wa kusimamia miradi ya biashara na mingineyo kwa ufanisi,hii ni pamoja na majukumu mengine ya Ofisi na kampuni.
- Awe na uelewa na mwenye uwezo wa kujifunza na kutekeleza masuala yanayohusiana na sheria/taratibu za uendeshaji wa kampuni.
- Awe na uwezo wa kutayarisha taarifa za mara kwa mara za maendeleo ya kampuni ambazo zitawasilishwa kwenye Bodi ya wakurugenzi kila baada ya miezi mitatu,hii ni pamoja na taarifa nyingine za utendaji za mara kwa mara.
- Awe na uwezo wa kuandaa ripoti za mauzo za siku,wiki na mwezi pia.
- Awe mwaminifu na kutumainiwa na mwenye msukumo binafsi(self driven)katika kutenda majukumu yake.Maana yake asiwe ni mtu wa kungojea kusukumwa na kukumbushwa majukumu yake ya kila siku.
- Awe ni mtu mwenye uwezo wa kupanga mipango yake inayoleta maslahi na maendeleo kwa kampuni na mwenye uwezo wa kuona mbali ili kupanua wigo wa kampuni.
- Atakuwa ndiye msaidizi mkuu wa mwenyekiti mwendeshaji wa kampuni katika shughuli za utendaji za siku hadi siku.
- Awe na uwezo wa kutumia internet,Ms Excel,Ms Word,
- Atakuwa ndiye msimamizi wa uendeshaji wa Mini supermarket na restaurant ambazo zipo chini ya kampuni ya Ufishi consult ltd.
- Atakuwa ndiye msimamizi wa wafanyakazi wote wa kampuni na kusimamia taratibi zote za kampuni.
- Umri kati ya miaka 26-35
Tuma CV yako na barua ya maombi kwenye anuani ya kampuni hii ufishiconsult@gmail.com ,Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 22/12/2010 na wale ambao watafanikiwa watapigiwa simu kwa ajili ya usaili
Subscribe to:
Posts (Atom)